Loading...
![]() |
Yafuatayo ni
mambo ambayo yatakusaidia kujenga tabia ya kuchukua hatua kwa vitendo:-
1. Thubutu
kujaribu, usiogope kujaribu.
2. Usisubiri
mambo yote yakae sawa,hakuna siku kila kitu kitakaa sawa.
3. Kuwa na
ujasiri wa kufanya kile unachokiogopa, ukishaanza kukifanya tu hofu yote
inapotea.
4. Anza leo
, usiruhusu kusema utaanza kesho au wiki ijayo au mwaka ujao. Kufanya hivyo
unakaribisha kushindwa.
5. Usitumie
muda mwingi sana kujiandaa kufanya jambo, anza hivyo hivyo kwa kutumia hicho
hicho ulichonacho.
6. Usiogope
watu wengine watasema nini au watakuonaje.
Kuwa na
mawazo na mipango mizuri pekee haikusaidii kitu, ili uweze kupata manufaa
kutoka katika mawazo hayo lazima uchukue hatua kwa vitendo.
You Deserve
The Best!
Vicent
Stephen
MAMBO YA KUFANYA ILI KUJENGA TABIA YA KUCHUKUA HATUA KWA VITENDO - Na Siri ya Utajiri
Reviewed by By News Reporter
on
1/28/2018 06:54:00 AM
Rating:

Hakuna maoni: