Loading...

UPDATES: MATUKIO YANAYOJIRI NCHINI KENYA JUU YA KUAPISHWA KWA RAILA ODINGA

Updates (03:40): Wakazi mjini Kisii washerehekea baada ya Raila Odinga kulishwa kiapo.
Raila akila kiapo ndani ya uwanja wa Uhuru Park
Updates (03:15): HATIMAYE kinara wa NASA Raila Odinga aapishwa kwa Biblia kuwa rais wa wananchi huku vinara wenza Kalonzo Musyoka, Musalia Mudavadi na Moses Wetang'ula wakikosekana kwa hafla hiyo. Raila asema Kalonzo ataapishwa baadaye
Updates (02:01PM): Cha kushangaza ni kwamba kuna alama ya mzunguko ambao umetokea karibu na jua, watu wakiamini kwamba Mungu 'amekubali' maombi yao Uhuru Park
Updates(12:59): Gavana wa Mombasa Hassan Joho, mmoja wa viongozi wa chama cha ODM chake Bw Odinga, ni miongoni mwa viongozi ambao wamefunga safari kuelekea uwanja wa Uhuru Park. Ameyasema katika mtandao wake wa twitter.
Updates(02:15):Gavana wa Mombasa Hassan Joho apokonywa walinzi na kitengo cha Flying Squad wakati akielekea Uhuru Park
Updates: Maandalizi ya hafla ya kiapo yaanza. Viti vyapangwa kwenye jukwaa kuu la Uhuru Park.
Updates: Vijana wakiharibu bango la Rais Kenyatta
Loading...
2.PNG"> Updates: Uwanja wa Uhuru karibia unajaa jinsi ya watu walivyofurika

Kiongozi wa kambi ya upinzani, Raila Odinga.






Wafuasi wa upinzani na mbwembwe zao
Wafuasi wa upinzani wanaendelea kuingia uwanja wa Uhuru Park, baadhi wakiwa wamevalia mavazi yenye ujumbe. Wengine wamevalia kuonyesha uzalendo na wengine utiifu wao kwa Bw Odinga.


KWAHISANI YA WATU WA MTANDAO
UPDATES: MATUKIO YANAYOJIRI NCHINI KENYA JUU YA KUAPISHWA KWA RAILA ODINGA UPDATES: MATUKIO YANAYOJIRI NCHINI KENYA JUU YA KUAPISHWA KWA RAILA ODINGA Reviewed by By News Reporter on 1/30/2018 12:44:00 PM Rating: 5

Hakuna maoni:

Inaendeshwa na Blogger.