Loading...
Rappa Jay-Z na Beyonce kwa sasa wapo katika wa Kingston, Jamaica, ambapo wanafanya kipande cha video ambacho kitatumika katika ziara yao inayokwenda kwa jina la On the Run II
Wawili hao waliwashangaza watu baada ya kutembelea jiji la Trenchtown kwa kutumia pikipiki aina ya boda boda.
Kwa mujibu wa ripoti, Jay-Z na Beyonce watashoot video katika nyumba ya Bob Marley huko Tuff Gong na studio za Jamaica.
Na Neema Joshua.
Tuma neno 'HABARI' kwenda +255765112259 kupata habari za mastaa punde zinapojiri.
Wawili hao waliwashangaza watu baada ya kutembelea jiji la Trenchtown kwa kutumia pikipiki aina ya boda boda.
Kwa mujibu wa ripoti, Jay-Z na Beyonce watashoot video katika nyumba ya Bob Marley huko Tuff Gong na studio za Jamaica.
Na Neema Joshua.
Tuma neno 'HABARI' kwenda +255765112259 kupata habari za mastaa punde zinapojiri.
BEYONCE NA JAY-Z WAONEKANA MITAA YA 'JAMAICA' WAKIENDESHA BODA BODA
Reviewed by By News Reporter
on
3/21/2018 12:10:00 PM
Rating:
Hakuna maoni: