Loading...

TAARIFA KWA UMMA

Loading...
Chuo kikuu Cha Dar es Salaam kinawakaribisha watanzania wote kwenye Maadhimisho ya Tamasha la kumi la kimajumui la Mwalimu J. K. Nyerere 

Mada kuu ni "Wimbi la Uporaji Raslimali Afrika: Wanyonge wanajikwamuaje? 

Ukumbi ni Nkrumah Hall Chuo Kikuu UDSM, kesho Jumatano hadi Ijumaa.
TAARIFA KWA UMMA TAARIFA KWA UMMA Reviewed by By News Reporter on 4/10/2018 03:19:00 PM Rating: 5

Hakuna maoni:

Loading...
Inaendeshwa na Blogger.