Loading...

ZIMBABWE KUFANYA UCHAGUZI MKUU WA URAIS JULAI 30

Loading...
Rais Mnangagwa ametangaza kuwa uchaguzi mkuu nchini Zimbabwe unatarajia kufanyika 30 Julai.
Huu utakua ni uchaguzi wa kwanza nchini humo bila Robert Mugabe.

Robert Mugabe alilazimika kujiuzulu mwaka jana baada ya jeshi la nchi hiyo kuingilia  kati.
Mnangagwa atakua anashindana na mpinzani wake Nelson Chamisa baada ya kifo cha Tsvangirai.

Uchaguzi unatarajiwa kuwa wa huru na wenye haki.
Na Peter Godwin.




Una maoni? Una habari ambayo ungependa tuichapishe? Tuma ujumbe kwa mhariri mkuu:dundiikaonline@gmail.com au sms-whatsapp: +255765112259
ZIMBABWE KUFANYA UCHAGUZI MKUU WA URAIS JULAI 30 ZIMBABWE KUFANYA UCHAGUZI MKUU WA URAIS JULAI 30 Reviewed by By News Reporter on 5/31/2018 09:11:00 AM Rating: 5

Hakuna maoni:

Loading...
Inaendeshwa na Blogger.