Loading...

MCHUNGAJI ALIWA NA MAMBA AKIBATIZA ZIWANI

Loading...
MCHUNGAJI ambaye aliyekuwa akiendesha ibaada ya kubatiza waumini ufukweni mwa ziwa amefariki baada ya kushambuliwa na mamba wakati akibatiza Kusini mwa Ethiopia.

Mchungaji huyo ambaye ametambuliwa kwa jina la Docho Eshete alikuwa akiendesha ibaada hiyo ya waumini 80 siku ya Jumapili iliyopita katika ufukwe wa Ziwa Abaya katika mji wa Arba Minch wilaya ya Merkeb Tabya.

Wakazi wa mji huo waliliambia shirika la utangazaji la BBC kwamba Mamba huyo aliruka kutoka ndani ya maji wakati mchungaji huyo akiwabatiza waumini na kumng’ata miguu,mgongo na mikono majeraha yaliyosababisha kifo chake.
Na Hamisi Fakhi.




Una maoni? Una habari ambayo ungependa tuichapishe? Tuma ujumbe kwa mhariri mkuu:dundiikaonline@gmail.com au sms-whatsapp: +255765112259
MCHUNGAJI ALIWA NA MAMBA AKIBATIZA ZIWANI MCHUNGAJI ALIWA NA MAMBA AKIBATIZA ZIWANI Reviewed by By News Reporter on 6/06/2018 05:38:00 PM Rating: 5

Hakuna maoni:

Loading...
Inaendeshwa na Blogger.