Loading...
Watu 27 wafariki na wengine 302 walazwa hospitali kwa kunywa pombe iliokwishaharibika nchini Iran.
Pombe hiyo ilikuwa imekwishaharibi kwa kuwa muda wake wa kutumiwa kama kinywaji ulikuwa umekwishapita.
Unywaji wa pombe nchini Iran umepigwa marufuku tangu mageuzi ya kiislamu nchini humo mwaka 1979.
Pombe huuzwa kimagendo nchini humo na mara nyingine hutengenezwa majumbani na katika warsha.
Kulingana na sheria nchini humo,muuzaji na mnunuaji wa pombe hupewa adhabu ya kifungo na kupigwa fimbo.
Jeshi la Polisi limefahamisha kuwakamata watu wawili wanaoshukiwa kuuza pombe hiyo ilioharibika.
Adhabu kali hutolewa dhidi ya watu wanaokamatwa kwa makosa ya kunywa pombe.
Na Fatma Pembe.
Una maoni? Una habari ambayo ungependa tuichapishe? Tuma ujumbe kwa mhariri mkuu:dundiikaonline@gmail.com au sms-whatsapp: +255765112259
Pombe hiyo ilikuwa imekwishaharibi kwa kuwa muda wake wa kutumiwa kama kinywaji ulikuwa umekwishapita.
Unywaji wa pombe nchini Iran umepigwa marufuku tangu mageuzi ya kiislamu nchini humo mwaka 1979.
Pombe huuzwa kimagendo nchini humo na mara nyingine hutengenezwa majumbani na katika warsha.
Kulingana na sheria nchini humo,muuzaji na mnunuaji wa pombe hupewa adhabu ya kifungo na kupigwa fimbo.
Jeshi la Polisi limefahamisha kuwakamata watu wawili wanaoshukiwa kuuza pombe hiyo ilioharibika.
Adhabu kali hutolewa dhidi ya watu wanaokamatwa kwa makosa ya kunywa pombe.
Na Fatma Pembe.
Una maoni? Una habari ambayo ungependa tuichapishe? Tuma ujumbe kwa mhariri mkuu:dundiikaonline@gmail.com au sms-whatsapp: +255765112259
MAMIA WALAZWA HUKU 27 WAFARIKI KWA POMBE ILIYOHARIBIKA
Reviewed by By News Reporter
on
9/30/2018 11:28:00 AM
Rating:

Hakuna maoni: