Loading...
Kampuni Boeing imesitisha uzalishaji wa ndege zake aina ya 737 MAX baada ya ajali mfululizo zilizoikumba aina hiyo ya ndege, ikihusisha ndege ya shirika la ndege la Ethiopia na ile ya Indonesia ambazo zote ziliua idadi kubwa ya watu.
Boeing wamesema wanafanyia kazi Software ambayo itaondoa kabisa tatizo hilo.
Itakumbukwa kuwa Ndege ya shirika la ndege la Ethiopia ilipata ajali wakati ikitokea mji wa Adis Ababa kuelekea Kenya na watu wote 157 waliokuwa kwenye ndege hiyo walipoteza maisha.
Boeing wamesema wanafanyia kazi Software ambayo itaondoa kabisa tatizo hilo.
Itakumbukwa kuwa Ndege ya shirika la ndege la Ethiopia ilipata ajali wakati ikitokea mji wa Adis Ababa kuelekea Kenya na watu wote 157 waliokuwa kwenye ndege hiyo walipoteza maisha.
Na Vicky Boazi.
.
.
Una maoni? Una habari ambayo ungependa tuichapishe? Tuma ujumbe kwa mhariri mkuu:dundiikaonline@gmail.com.
BOEING 737 MAX KUTOZALISHWA TENA KUFUATIA AJALI
Reviewed by By News Reporter
on
4/07/2019 08:19:00 AM
Rating:
Hakuna maoni: