Loading...
Muanzilishi wa mtandao wa Wikileaks, Julian Assange amekamatwa mjini London.
Kwa mujibu wa polisi Marekani imewasilisha maombi Assange apelekwe nchini humo.
Vyombo vya sheria vya Marekani vinataka kumfungulia mashitaka mzaliwa huyo wa Australia baada ya mtandao wake wa Wikileaks kuchapisha hadharani nyaraka kadhaa za siri za Marekani.
Julian Assange amekuwa akiishi katika ubalozi wa Equador mjini London tangu mwaka 2012. Kwa namna hiyo akisalimika na mpango wa kumpeleka Sweeden ambako anaandamwa kisheria kwa tuhuma za ubakaji.
Akikutikana na hatia nchini Marekani Julian Assange anaweza kuhukumiwa kifungo cha hadi miaka mitano jela.
Kwa mujibu wa polisi Marekani imewasilisha maombi Assange apelekwe nchini humo.
Vyombo vya sheria vya Marekani vinataka kumfungulia mashitaka mzaliwa huyo wa Australia baada ya mtandao wake wa Wikileaks kuchapisha hadharani nyaraka kadhaa za siri za Marekani.
Julian Assange amekuwa akiishi katika ubalozi wa Equador mjini London tangu mwaka 2012. Kwa namna hiyo akisalimika na mpango wa kumpeleka Sweeden ambako anaandamwa kisheria kwa tuhuma za ubakaji.
Akikutikana na hatia nchini Marekani Julian Assange anaweza kuhukumiwa kifungo cha hadi miaka mitano jela.
Na Peter Lusajo.
.
.
Una maoni? Una habari ambayo ungependa tuichapishe? Tuma ujumbe kwa mhariri mkuu:dundiikaonline@gmail.com.
MUASISI WA MTANDAO WA WIKILEAKS ATIWA MBARONI
Reviewed by By News Reporter
on
4/12/2019 08:26:00 AM
Rating:
Hakuna maoni: