Loading...

Popote walipo ndugu, rafiki au jamaa wa huyu dada, taarifa ni kuwa ameuwawa huko New Delhi, India.

Loading...
afariki India dundiika news
Dada huyo akiwa amelala, kwajina hakutambulika.
Mtanzania mmoja huko Delhi, India imesambazwa kwa kupitia mtandao wa WhatsApp kuwa amefariki dunia kwa kufanyiwa vitendo vya kinyama mpaka kufariki dunia. Pia mtanzania mwenzetu msamaria ameamua kusambaza picha hizi ili kwa yoyote atakaye mtambua iwe ndugu, jamaa ama rafiki basi wajue amefariki dunia na kama ikiwezekana wafanye mpango wa kumtoa huko India.
Enzi za uhai wake
Popote utakapopata taarifa hii usisite kuisambaza kwa wengine ili tuweze kufanikisha swala kuhifadhiwa kwa mwili.

"Tunasema alale mahali pema poponi, Amen"
Popote walipo ndugu, rafiki au jamaa wa huyu dada, taarifa ni kuwa ameuwawa huko New Delhi, India. Popote walipo ndugu, rafiki au jamaa wa huyu dada, taarifa ni kuwa ameuwawa huko New Delhi, India. Reviewed by By News Reporter on 1/26/2018 07:41:00 AM Rating: 5

Hakuna maoni:

Loading...
Inaendeshwa na Blogger.