Loading...

RAIS TRUMP NA KENYATTA WAJADILI UGAIDI NA BIASHARA MKUTANO WAO WHITE HOUSE, MAREKANI

Loading...
Rais wa Kenya apokelewa White House na rais Trump katika ziara yake rasmi nchini Marekani. Katika mazungumzo kati ya viongozi hao wawili, suala zima la ushirikiano katika sekta ya biashara na usalama  ndio ambalo limezungumziwa.

Viongozi hao wamewaambia waandishi wa habari kuwa ushirikiano  katika sekta ya biashara kati ya Marekani na Kenya unazidi kuimarishwa.

Akizungumza kuhusu Marekani kuwekeza nchini Kenya, rais Trump amesema kuwa  kuna umuhimu pia wa ushirikiano katika  sekta ya ulinzi.

Kuhusu mapambano dhidi ya ugaidi, Trump amesema kuwa Kenya  ni taifa muhimu katika mapambano dhidi ya ugaidi, hivyo basi Marekani haina budi  kuzidisha ushirikiano wake na taifa hilo.
Na Paskali Joseph.




Una maoni? Una habari ambayo ungependa tuichapishe? Tuma ujumbe kwa mhariri mkuu:dundiikaonline@gmail.com au sms-whatsapp: +255765112259
RAIS TRUMP NA KENYATTA WAJADILI UGAIDI NA BIASHARA MKUTANO WAO WHITE HOUSE, MAREKANI RAIS TRUMP NA KENYATTA WAJADILI UGAIDI NA BIASHARA MKUTANO WAO WHITE HOUSE, MAREKANI Reviewed by By News Reporter on 8/28/2018 11:29:00 AM Rating: 5

Hakuna maoni:

Loading...
Inaendeshwa na Blogger.