Loading...
Mchezo wa Marudiano wa kufuzu michuano ya #AFCON kati ya Tanzania(Taifa Stars) dhidi ya Cape Verde umemalizika.
Stars imeibuka na ushindi wa goli 2-0, zilizofungwa na Saimon Msuva na Mbwana Samatta.
Tanzania iliyocheza michezo minne na kujikusanyia alama 5 inakamata nafasi ya pili kwenye kundi L, linaloongozwa na Uganda yenye alama 7 baada ya michezo mitatu.
Kwenye kundi hilo Cape Verde inashika nafasi ya 3 ikiwa na alama 4 baada ya michezo minne huku Lesotho ikiwa nafasi ya mwisho na alama 2 baada ya michezo mitatu.
Na Jafar Mussa.
Una maoni? Una habari ambayo ungependa tuichapishe? Tuma ujumbe kwa mhariri mkuu:dundiikaonline@gmail.com.
Stars imeibuka na ushindi wa goli 2-0, zilizofungwa na Saimon Msuva na Mbwana Samatta.
Tanzania iliyocheza michezo minne na kujikusanyia alama 5 inakamata nafasi ya pili kwenye kundi L, linaloongozwa na Uganda yenye alama 7 baada ya michezo mitatu.
Kwenye kundi hilo Cape Verde inashika nafasi ya 3 ikiwa na alama 4 baada ya michezo minne huku Lesotho ikiwa nafasi ya mwisho na alama 2 baada ya michezo mitatu.
Na Jafar Mussa.
Una maoni? Una habari ambayo ungependa tuichapishe? Tuma ujumbe kwa mhariri mkuu:dundiikaonline@gmail.com.
TAIFA STARS YAITEMBEZEA CAPE VERDE KICHAPO TAKATIFU
Reviewed by By News Reporter
on
10/16/2018 10:22:00 PM
Rating:

Hakuna maoni: