Loading...

KOREA KASKAZINI YAICHIMBA MKWARA MAREKANI

Loading...
Korea kaskazini imeipa onyo Marekani kwamba itarejea kwenye sera za nchi hiyo za kutengeneza silaha za nyuklia kama Washington isipoondoa vikwazo vikali vya kiuchumi dhidi taifa hilo.

Kwa miaka Korea kaskazini imekuwa ikitekeleza sera yake ya "byungjin" ambapo nchi hio ilikuwa ikiendeleza uwezo wake wa silaha za kinyuklia pamoja na uchumi.

Mwezi April kiongozi wa peninsula hio ya Korea Kaskazini alitangaza kwamba nchi yake sasa itajikita kwenye kujenga uchumi wa kijamaa na kuachana na suala la uendelezaji wa silaha za kinyuklia.
Na Geofrey Okechi.



Una maoni? Una habari ambayo ungependa tuichapishe? Tuma ujumbe kwa mhariri mkuu:dundiikaonline@gmail.com.
KOREA KASKAZINI YAICHIMBA MKWARA MAREKANI KOREA KASKAZINI YAICHIMBA MKWARA MAREKANI Reviewed by By News Reporter on 11/04/2018 05:09:00 PM Rating: 5

Hakuna maoni:

Loading...
Inaendeshwa na Blogger.