Loading...

TANZIA: AJALI YAUA MKOANI ARUSHA, MAGARI YA MASHINDANO YAGONGANA

Loading...
AJALI imetokea Aprili 21, 2019 baada ya magari mawili ya mashindano kugongana eneo la Oldonyosambu, Arumeru jijini, Arusha na kuua na kujeruhi baadhi ya watu waliokuwa nje ya barabara.

Kati ya magari hayo mawili yaliyopata ajali, moja lilikuwa linaendeshwa na Mkenya na lingine Mtanzania.

Kamanda wa Polisi mkoani Arusha, Jonathan Shanna akiongea na vyombo vya habari amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo huku akihaidi kutoa taarifa zaidi hapo baadae.
Na Sadiki Nyembo.
.
.
Una maoni? Una habari ambayo ungependa tuichapishe? Tuma ujumbe kwa mhariri mkuu:dundiikaonline@gmail.com.
TANZIA: AJALI YAUA MKOANI ARUSHA, MAGARI YA MASHINDANO YAGONGANA TANZIA: AJALI YAUA MKOANI ARUSHA, MAGARI YA MASHINDANO YAGONGANA Reviewed by By News Reporter on 4/22/2019 07:34:00 AM Rating: 5

Hakuna maoni:

Loading...
Inaendeshwa na Blogger.