Loading...
na taarifa tulizozipokea hapa Dundiika News, mbunge huyo alitarajiwa kuzungumzia masuala kadhaa ikiwemo mauaji ya kiholela yanayotekelezwa na maafisa wa polisi na ukiukaji wa haki za kibinadamu.
Hata hivyo, serikali kuu ilimkashifu Bobi kwa kukosa kuzingatia tahadhari za kiusalama alipoandaa halfa hiyo ya Kyarenga.
Polisi waliokuwa wamezingira makazi ya mbunge huyo sasa wamepata kibarua cha kumsaka.
Na Haika Gabriel.
.
.
Una maoni? Una habari ambayo ungependa tuichapishe? Tuma ujumbe kwa mhariri mkuu:dundiikaonline@gmail.com.
Hata hivyo, serikali kuu ilimkashifu Bobi kwa kukosa kuzingatia tahadhari za kiusalama alipoandaa halfa hiyo ya Kyarenga.
Polisi waliokuwa wamezingira makazi ya mbunge huyo sasa wamepata kibarua cha kumsaka.
Na Haika Gabriel.
.
.
Una maoni? Una habari ambayo ungependa tuichapishe? Tuma ujumbe kwa mhariri mkuu:dundiikaonline@gmail.com.
UGANDA: BOBI WINE ATOROKA KIZUIZINI, POLISI WAHAHA KUMSAKA
Reviewed by By News Reporter
on
4/26/2019 09:04:00 AM
Rating:

Hakuna maoni: