Loading...
sans-serif;">Taarifa hiyo inasema baada ya kuingizwa sokoni pesa hiyo ya kidigitali itaanzishwa pia pochi ya kidigitali ya kuhifazia pesa hio iitwayo “Calibra”. Taarifa hiyo inasema huduma hiyo kwa watumiaji itawezesha kuokoa pesa pia matumizi na kutumiana pesa miongoni mwao.
Katika taarifa hiyo ya Facebook imekumbushia kwamba pesa hiyo ya kidigitali na pochi ya kidigitali vitaweza kutumiwa na mtu yeyote ambaye kwenye simu yake ila awe na programu tumizi za Facebook Messenger, WhatsApp au “Calibra”.
Katika taarifa hiyo ya Facebook imekumbushia kwamba pesa hiyo ya kidigitali na pochi ya kidigitali vitaweza kutumiwa na mtu yeyote ambaye kwenye simu yake ila awe na programu tumizi za Facebook Messenger, WhatsApp au “Calibra”.
Na Yohana Samweli.
.
.
Una maoni? Una habari ambayo ungependa tuichapishe? Tuma ujumbe kwa mhariri mkuu:dundiikaonline@gmail.com.
FACEBOOK KUJA NA PESA YAO YA KIDIGITALI 'LIBRA' KUANZIA 2020
Reviewed by By News Reporter
on
6/21/2019 08:17:00 AM
Rating:

Hakuna maoni: