Loading...
font-family: Verdana, sans-serif;">Pesa ya kulipia mafuta hayo haikuwepo. Mamlaka ya uwanja huo ikazuia ndege hiyo kuruka, Hapo ndipo rubani wa ndege hiyo alipoamua kutumia njia ambayo si ya kawaida kwa kuwachangisha abiria dola elfu 3 ili kuweza kulipia mafuta hayo.
Abiria waligoma kuchangia ndipo Ubalozi wa Irak nchini Tunisia ulipoingilia kati na kulipia gharama hiyo. Baada ya kulipa pesa hiyo ndege hiyo iliondoka ikiwa imechelewa.
Abiria waligoma kuchangia ndipo Ubalozi wa Irak nchini Tunisia ulipoingilia kati na kulipia gharama hiyo. Baada ya kulipa pesa hiyo ndege hiyo iliondoka ikiwa imechelewa.
Na Neema Joshua.
.
.
Una maoni? Una habari ambayo ungependa tuichapishe? Tuma ujumbe kwa mhariri mkuu:dundiikaonline@gmail.com.
RUBANI ALIVYOWACHANGISHA ABIRIA MCHANGO WA MAFUTA
Reviewed by By News Reporter
on
7/30/2019 07:04:00 AM
Rating:

Hakuna maoni: