Loading...
a Uturuki (T3 Vakfi) ametangaza kwamba Uturuki itakuwa na gari lake la kwanza linalopaa angani.
Bayraktar aliandika kupitia ukurasa wake wa Twitter na mradi huo wa taifa wa gari linalopaa ujulikanao kama "CEZERİ". Alisema kwamba mfano “prototype” ya gari hilo umekamilika kutengenezwa na litaonyeshwa jinsi linavyopaa katika maonyesho ya teknolojia ya TEKNOFEST.
Bayraktar aliandika kupitia ukurasa wake wa Twitter na mradi huo wa taifa wa gari linalopaa ujulikanao kama "CEZERİ". Alisema kwamba mfano “prototype” ya gari hilo umekamilika kutengenezwa na litaonyeshwa jinsi linavyopaa katika maonyesho ya teknolojia ya TEKNOFEST.
Na Mary Mkeu.
.
.
Una maoni? Una habari ambayo ungependa tuichapishe? Tuma ujumbe kwa mhariri mkuu:dundiikaonline@gmail.com.
UTURUKI YAKAMILISHA KUTENGENEZA GARI LAKE LA KWANZA LINALOPAA
Reviewed by GEOFREY MASHEL
on
8/10/2019 06:19:00 AM
Rating:

Hakuna maoni: