Loading...

MO KUMWAGA MAMILIONI SIMBA, ANACHOTAKA NI KUSONGA MBELE TU

BILIONEA na mwekezaji mkuu wa Simba, Mohammed Dewji ‘Mo’ ameendelea kufanya kufuru ya fedha kwenye timu hiyo baada ya kutoa ahadi ya milioni 40. Mo amewaambia Simba kuwa anachotaka ni kuwaona wakitinga kwenye hatua inayofuata ya Ligi ya Mabingwa Afrika na baada ya hapo waende wakachukue chao.

H
Loading...
vi karibuni Mo alitoa kitita cha maana kwa wachezaji wa timu hiyo baada ya kuitandika Mbabane Swallows katika mechi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika iliyofanyika jijini Dar es Salaam ambapo inaelezwa kuwa alitoa Sh milioni 30 kwa wachezaji hao.

Na amedai kuwa kuanzia sasa wachezaji wa timu hiyo watakuwa wakilamba milioni 40 kila watakapofanikiwa kutoka hatua moja na kwenda hatua nyingine ya michuano hiyo.
Na Ummy Jaffar.



Una maoni? Una habari ambayo ungependa tuichapishe? Tuma ujumbe kwa mhariri mkuu:dundiikaonline@gmail.com.
MO KUMWAGA MAMILIONI SIMBA, ANACHOTAKA NI KUSONGA MBELE TU MO KUMWAGA MAMILIONI SIMBA, ANACHOTAKA NI KUSONGA MBELE TU Reviewed by By News Reporter on 12/06/2018 01:13:00 PM Rating: 5

Hakuna maoni:

Inaendeshwa na Blogger.