Loading...

TRUMP AKUBALI KUKUTANA NA RAIS KIM JONG-UN

Loading...
Rais wa Marekani Donald Trump  akubali Alkhamis majira ya usiku kukutana na rais wa Korea Kaskazini Kim Jong Un ifikapo Mei mwaka huu 2018.
Kulingana na taarifa zilzitolewa ni kwamba , kwa upande wa  Korea-Kaskazini,  itasitisha  majaribio yake ya makombora ya nyuklia na kuhakikisha vitisho vya nyuklia kuondolewa katika Ghuba ya Korea.
Mualiko  kutoka kwa Kim Jong Un umetolewa  kiongozi wa ngazi ya juu wa Korea Kusini  Chung Eui-yong akiwa katika ziara ya kikazi mjini Washington.
Tuma neno 'HABARI' kwenda +255765112259 kupata habari za kimataifa punde zinapojiri.

TRUMP AKUBALI KUKUTANA NA RAIS KIM JONG-UN TRUMP AKUBALI KUKUTANA NA RAIS KIM JONG-UN Reviewed by By News Reporter on 3/09/2018 09:50:00 AM Rating: 5

Hakuna maoni:

Loading...
Inaendeshwa na Blogger.