Seneti ya Marekani imeidhinisha uteuzi wa Gina Haspel kama mkurugenzi na mwanamke wa kwanza wa CIA, huku akipigiwa kura na maseneta hamsini na nne kwa kura ya ndiyo na arobaini na tano wakipiga kura ya hapana.
Haspel, mkongwe katika shirika la ujasusi la Marekani, CIA, alikabiliwa na upinzani mgumu wakati wa kunadiwa kwake na hali ya nasaba yake na CIA na mbinu zake za namna ya kuhoji watuhumiwa zilivyokuwa za kipekee.
Gina awali alikuwa msimamizi wa gereza moja la siri lililoko nje ya Marekani ambako watuhumiwa wa ugaidi walikuwa chini ya bweni la maji, aina ya matesa ya kuzamishwa katika kina cha maji ambapo wengi huona kama mateso makubwa.
Bi Haspel amesema sasa CIA haipaswi kutum
Haspel, mkongwe katika shirika la ujasusi la Marekani, CIA, alikabiliwa na upinzani mgumu wakati wa kunadiwa kwake na hali ya nasaba yake na CIA na mbinu zake za namna ya kuhoji watuhumiwa zilivyokuwa za kipekee.
Gina awali alikuwa msimamizi wa gereza moja la siri lililoko nje ya Marekani ambako watuhumiwa wa ugaidi walikuwa chini ya bweni la maji, aina ya matesa ya kuzamishwa katika kina cha maji ambapo wengi huona kama mateso makubwa.
Bi Haspel amesema sasa CIA haipaswi kutum
Loading...
a tena mbinu za namna hiyo.
Seneta wa chama cha Republican John McCain ni miongoni mwa watu waliokumbana na mateso ya namna hiyo pindi alipokuwa akiteswa kwa miaka mitano kwenye jela mojawapo nchini Vietnam, mapema alipopata fununu za uteuzi wa Gina Haspel , aliupinga uteuzi huo bila kusita .
Miongoni mwao ni , seneta wa Virginia Mark Warner, anamuelezea Gina kuwa aliwahi kumwambia kwamba Shirika hilo halipaswi kutumia mbinu kama hizo, na kuahidi yeye binafsi kutorudia tena hata kama raisi Donald Trump ataamuru kutekelezwa.
Mark anasema anaamini misimamo ya Haspel kwamba anaweza kusimamia kauli zake hata kama raisi ataamuru; yeye hana hofu ya kusema ukweli kwa mamlaka za juu endapo amri zinaweza kuwa haramu ama uovu ndani yake hasiti kukataa kutekeleza na endapo atakubali amri hizo basi kwake itakuwa ni sawa na kurejea kwenye utesaji.
Na Paskali Joseph.
Una maoni? Una habari ambayo ungependa tuichapishe? Tuma ujumbe kwa mhariri mkuu:dundiikaonline@gmail.com au sms-whatsapp: +255765112259
Seneta wa chama cha Republican John McCain ni miongoni mwa watu waliokumbana na mateso ya namna hiyo pindi alipokuwa akiteswa kwa miaka mitano kwenye jela mojawapo nchini Vietnam, mapema alipopata fununu za uteuzi wa Gina Haspel , aliupinga uteuzi huo bila kusita .
Miongoni mwao ni , seneta wa Virginia Mark Warner, anamuelezea Gina kuwa aliwahi kumwambia kwamba Shirika hilo halipaswi kutumia mbinu kama hizo, na kuahidi yeye binafsi kutorudia tena hata kama raisi Donald Trump ataamuru kutekelezwa.
Mark anasema anaamini misimamo ya Haspel kwamba anaweza kusimamia kauli zake hata kama raisi ataamuru; yeye hana hofu ya kusema ukweli kwa mamlaka za juu endapo amri zinaweza kuwa haramu ama uovu ndani yake hasiti kukataa kutekeleza na endapo atakubali amri hizo basi kwake itakuwa ni sawa na kurejea kwenye utesaji.
Na Paskali Joseph.
Una maoni? Una habari ambayo ungependa tuichapishe? Tuma ujumbe kwa mhariri mkuu:dundiikaonline@gmail.com au sms-whatsapp: +255765112259
MWANAMKE WA KWANZA 'GINA HASPEL' AIDHINISHWA KUIONGOZA CIA MAREKANI
Reviewed by By News Reporter
on
5/18/2018 02:47:00 PM
Rating:

Hakuna maoni: