Loading...

WANAMGAMBO 27 WA KUNDI LA AL SHABAAB WAUAWA NA JESHI LA MAREKANI

Loading...
Watuhumiwa 27 wa kundi la al shabab wauawa katika operesheni ya anga ya jeshi la Marekani ilioendeshwa Kusini-Mashariki mwa Somalia.

Shambulizi hilo la jeshi la Marekani  limeendeshwa katika eeno la umbali wa kilomita 41  Kusini-Magharibi na jini la Bosasso.

Jeshi la Marekani kwa ushirikiano na jeshi la Somalia  limeendesha operesheni hiyo ya anga katika eneo la Bari ambapo limefahamisha kuwa wanamgambo 27 wa kundi la al shabaab wameuawa. Taarifa hiyo imetolewa Jumatatu na  uongozi wa jeshi la Marekani  Afrika Africom.
Na Hamisi Fakhi.




Una maoni? Una habari ambayo ungependa tuichapishe? Tuma ujumbe kwa mhariri mkuu:dundiikaonline@gmail.com au sms-whatsapp: +255765112259
WANAMGAMBO 27 WA KUNDI LA AL SHABAAB WAUAWA NA JESHI LA MAREKANI WANAMGAMBO 27 WA KUNDI LA AL SHABAAB WAUAWA NA JESHI LA MAREKANI Reviewed by By News Reporter on 6/05/2018 06:36:00 PM Rating: 5

Hakuna maoni:

Loading...
Inaendeshwa na Blogger.