Loading...
UGOMVI wa kifamilia kati ya wasanii Birdman na Lil Wayne umemalizika Jumamosi iliyopita kwenye tamasha la Lil Weezyana Fest lililofanyika huko New Orleans, Marekani, ambapo Birdman aliomba msamaha mbele ya maelfu ya mashabiki waliokusanyika katika dimba la Champions Square.
Tukio hilo linafuatia baada ya watu hao wawili kumaliza bifu lao ambapo Wayne alimfungulia mashitaka Birdman kwa kumdai Dola mil. 51 (Sh. bil. 117) ili ajiondoe katika mkataba wake mwaka 2015. Hilo lilimalizika kwa siri mnamo mwezi Juni mwaka huu.
Na Bahati Rashid.
Una maoni? Una habari ambayo ungependa tuichapishe? Tuma ujumbe kwa mhariri mkuu:dundiikaonline@gmail.com au sms-whatsapp: +255765112259
LIL WAYNE AMALIZA UGOMVI NA BABAKE 'BIRDMAN' RASMI
Reviewed by By News Reporter
on
8/28/2018 03:10:00 PM
Rating:
![LIL WAYNE AMALIZA UGOMVI NA BABAKE 'BIRDMAN' RASMI](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiNJlKJeVYU74XVm13tuzKJTmvQk4UWbscZ1dGvUAZSKpFkxnynfHAVV4bF1y8kSwVBhq3GHO3Q82ROvzTDdxYe8K9-8Qk7YEJr4Wwda8Lq1Ttp7xBtXKBHyxi_vWIypHtxOFohns9KSqs/s72-c/wayne+amaliza+bifu+na+baba+yake.jpg)
Hakuna maoni: