Loading...
rdana, sans-serif;">Barua ya rais wa Burundi Pierre Nkurunziza, kwa mwenyekiti wa jumuiya ya Afrika mashariki Yoweri Museveni, inaomba mkutano uahirishwe kwa muda wa mwezi mmoja zaidi.
Lakini Museveni, kwa kumjibu Nkurunziza, amesisitiza kwamba mkutano huo lazima ufanyike ilivyopangwa, kwa sababu maandalizi yamekamilika.
Na Sham Mmary.
Una maoni? Una habari ambayo ungependa tuichapishe? Tuma ujumbe kwa mhariri mkuu:dundiikaonline@gmail.com.
Lakini Museveni, kwa kumjibu Nkurunziza, amesisitiza kwamba mkutano huo lazima ufanyike ilivyopangwa, kwa sababu maandalizi yamekamilika.
Na Sham Mmary.
Una maoni? Una habari ambayo ungependa tuichapishe? Tuma ujumbe kwa mhariri mkuu:dundiikaonline@gmail.com.
BURUNDI KUINGIA MITINI MKUTANO WA JUMUIA YA A.MASHARIKI
Reviewed by By News Reporter
on
11/28/2018 06:49:00 AM
Rating:

Hakuna maoni: