Loading...
i 2019 kama ilivyotangazwa na Serikali hapo awali. Ikumbukwe kuwa adhabu kwa wazalishaji, wauzaji na watumiaji wa mifuko ya plastiki inayopigwa marufuku zitatolewa kwa wote watakaokaidi.
Ofisi ya Makamu wa Rais inawaasa watanzania kuchukua tahadhari ya matangazo ya aina hiyo na inapotokea wasiliana nasi kwa namba ya simu ifuatayo: 0685333444.
Ofisi ya Makamu wa Rais inawaasa watanzania kuchukua tahadhari ya matangazo ya aina hiyo na inapotokea wasiliana nasi kwa namba ya simu ifuatayo: 0685333444.
Na Sheila Bakari.
.
.
Una maoni? Una habari ambayo ungependa tuichapishe? Tuma ujumbe kwa mhariri mkuu:dundiikaonline@gmail.com.
TAHADHARI JUU YA TAARIFA YA MIFUKO YA PLASTIKI INAYOSAMBAA
Reviewed by By News Reporter
on
5/11/2019 09:55:00 AM
Rating:

Hakuna maoni: