Loading...
esema sio Kolon peke yake bali katika misikiti yao 857 nchini Ujerumani kutakuwa na shughuli mbalimbali kipindi chote cha mwezi wa Ramadhani.
Türkmen, alikumbushia kwamba siku ya jumapili wataswali swal aya kwanza ya Taraweh na jumatatu ndio mfungo wa Ramadhani utaanza rasmi nchini Ujerumani, aliongeza kwamba DITIB itafutarisha katika moja ya tatu ya misikiti yake 857 nchini humo.
Türkmen, alikumbushia kwamba siku ya jumapili wataswali swal aya kwanza ya Taraweh na jumatatu ndio mfungo wa Ramadhani utaanza rasmi nchini Ujerumani, aliongeza kwamba DITIB itafutarisha katika moja ya tatu ya misikiti yake 857 nchini humo.
Na Geofrey Okechi.
.
.
Una maoni? Una habari ambayo ungependa tuichapishe? Tuma ujumbe kwa mhariri mkuu:dundiikaonline@gmail.com.
UJERUMANI TAYARI KUIPOKEA RAMADHANI, WAISLAM ELFU 40 KUPATA IFTARI BURE
Reviewed by By News Reporter
on
5/04/2019 09:31:00 AM
Rating:

Hakuna maoni: