Loading...
span>
Marais hao walikuwa na kikao cha muda mfupi ambapo Trump alisema atamualika Rais Jong Un katika ikulu ya White house wakati wowote ili wawe na mazungumzo zaidi.
Imeripotiwa kuwa viongozi hao walifanya mkutano ambao hukuwahusisha wanahabari na wanapanga kujadili zaidi kuhusu uhusiano kati ya nchi hizo mbili.
Imeripotiwa kuwa viongozi hao walifanya mkutano ambao hukuwahusisha wanahabari na wanapanga kujadili zaidi kuhusu uhusiano kati ya nchi hizo mbili.
Na Catherine Kisese.
.
.
Una maoni? Una habari ambayo ungependa tuichapishe? Tuma ujumbe kwa mhariri mkuu:dundiikaonline@gmail.com.
RAIS TRUMP AVUNJA REKODI KWA KUZURU KOREA KASKAZINI
Reviewed by By News Reporter
on
7/01/2019 07:09:00 AM
Rating:

Hakuna maoni: