Loading...

WAKATI MWINGINE JIFUNZE KUSEMA HAPANA - Na Siri ya Utajiri

Kuna baadhi ya watu hawana uwezo wa kusema hapana kwa ujasiri dhidi ya jambo fulani au dhidi ya mawazo fulani kutoka kwa marafiki na watu wao wa karibu. Wao kila jambo linalopita mbele yao wanalipa nafasi.

Tabia hii ni hatari na ni kikwazo katika harakati zako za kutimiza malengo yako.

Loading...
07%;">Sio kila jambo linakufaa kuliwekea mkazo, hisia na muda wako. Jifunze kujenga tabia ya kusema hapana kwa mambo mengine ambayo yako nje ya vipaumbele vya ndoto na malengo yako.

Tabia ya kusema hapana kwa baadhi ya mambo itakusaidia kutengeneza muda mwingi na fursa ya kujikita katika mambo ya msingi yatakayokusaidia kufikia malengo yako.

Epuka kupoteza muda wako kwa kutoa nafasi kwa mambo ambayo sio kipaumbele.

You Deserve The Best!
Vicent Stephen

WAKATI MWINGINE JIFUNZE KUSEMA HAPANA - Na Siri ya Utajiri WAKATI MWINGINE JIFUNZE KUSEMA HAPANA - Na Siri ya Utajiri Reviewed by By News Reporter on 1/31/2018 06:05:00 AM Rating: 5

Hakuna maoni:

Inaendeshwa na Blogger.